ホーム > 用語 > スワヒリ語 (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
マイグロッサリに追加する

メンバーのコメント

ディスカッションへ投稿するにはログインしてください。

ニュース関連の用語

ピックアップされた用語

Ann Njagi
  • 0

    用語

  • 0

    グロッサリ

  • 12

    フォロワー

産業/ドメイン モバイル通信 カテゴリ 携帯電話

uliodhabitiwa ukweli

Uliodhabitiwa ukweli (AR) ni teknolojia ambayo unachanganya ulimwengu halisi ya habari na picha ya kompyuta-yanayotokana na maudhui, na zimetolewa ...

貢献者

ピックアップされたグロッサリ

World's Most Influential Women 2014

カテゴリ: Business   1 10 用語

5 of the World’s Most Corrupt Politicians

カテゴリ: 政治   1 5 用語